Mh.Kipanga ametoa miezi mitatu kwa Mkurugenzi wa VETA nchini kuhakikisha ujenzi wa chuo cha veta Mafia unakamilika.

NAIBU Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Omary Juma Kipanga ametoa miezi mitatu kwa Mkurugenzi wa  Chuo cha VETA nchini pankras Bujulu kuhakikisha ujenzi wa chuo cha veta wilayani Mafia kinakamilika kwa wakati. Kipanga ametoa matatizo hayo akiwa katika ziara ya Kikazi Wilayani mafia ambapo alitembelea na kukagua ujenzi wa chuo hicho pamoja na taasisi