NAIBU Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Omary Juma Kipanga ametoa miezi mitatu kwa Mkurugenzi wa Chuo cha VETA nchini pankras Bujulu kuhakikisha ujenzi wa chuo cha veta wilayani Mafia kinakamilika kwa wakati. Kipanga ametoa matatizo hayo akiwa katika ziara ya Kikazi Wilayani mafia ambapo alitembelea na kukagua ujenzi wa chuo hicho pamoja na taasisi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed